Kutakabari ni nini katika biblia?.
Jibu: Kutakabari maana yake ni “kuwa na kiburi”…Na hicho kinaweza kuja kutokana na kujiamini sana, au kuwa na kitu fulani ambacho wengine hawana, na kujiona huhitaji kitu kingine chochote…Kutakabari huko kunazaa kujisifu au kujiona bora kuliko wengine, na kujiinua sana hata kudharau wengine au kumdharau Muumba. Katika biblia tunaweza kuona mifano kadhaa ya watu waliotakabari.. … Continue reading Kutakabari ni nini katika biblia?.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed