Ni kwanini mifugo ya Yakobo iliongezeka kwa wingi kiasi kile?

SWALI: Ni nini alichokifanya Yakobo kwa ile mifugo ya Labani mpaka ikaongezeka kwake kwa wingi kuliko ya mjomba yake? Tukisoma biblia tunaona baada ya Yakobo kumtumkia mjomba yake Labani kwa miaka 14, ilifika wakati akataka sasa kwenda kujitegemea na kuilea  familia yake mwenyewe. Ndipo Labani akamwuliza amlipe nini? Sasa kwasababu Yakobo alikuwa anachunga mifugo yake, … Continue reading Ni kwanini mifugo ya Yakobo iliongezeka kwa wingi kiasi kile?