Nini maana ya uvuvio?.

Uvuvio ni Nini? Neno uvuvio maana yake ni “kupuliza hewa kwa nguvu”..unapopuliza makaa ya moto maana yake unayavuvia makaa. Unaweza kuuvuvia makaa ya moto kwa mdomo au pepeo. Ayubu 20: 26 “…..Moto ambao HAUKUVUVİWA na mtu utamla; Utayateketeza yaliyosalia hemani mwake”. Maana ya mstari huo ni kwamba, moto ambao umezuka tu wenyewe ambao haujapulizwa na … Continue reading Nini maana ya uvuvio?.