Kwanini wale dubu waliowauwa vijana wa Elisha walikuwa wa kike?
SWALI: Bwana Yesu apewe sifa Ukisomo kitabu cha 2 WAFALME 2:24 napenda kuelewa mbona pale wanatokea dubu wawili wa kike mwituni na sio wa kiume? 2Wafalme 2:24 “Akatazama nyuma akawaona, akawalaani kwa jina la Bwana. Wakatoka dubu wawili wa kike mwituni, wakawararua vijana arobaini na wawili miongoni mwao”. JIBU: Tofauti na sisi wanadamu, kwa upande … Continue reading Kwanini wale dubu waliowauwa vijana wa Elisha walikuwa wa kike?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed