Fitina maana yake nini kwenye biblia?

Fitina ni nini? Katika biblia Fitina maana yake ni “kufanya mageuzi au mapinduzi”. Mtu ambaye anataka kufanya mapinduzi labda ya kimamlaka, kutokana na kwamba labda hakubaliani na serikali yake, au mamlaka yake, na hivyo akakusanya watu kadhaa na kutafuta kuiangusha serikali, kwa lugha ya kibiblia mtu huyo anafanya fitina. Katika biblia (Agano la kale) tunaona … Continue reading Fitina maana yake nini kwenye biblia?