Je ni wanyang’anyi wawili waliomtukana Bwana Yesu au mmoja?

SWALI: Kitabu cha Mathayo 27:44 na Marko 15:32b inazungumzia wale wanyang’anyi walioteswa pamoja na Yesu kuwa wote wawili walimtukana Yesu pia, ila t