Je ni wanyang’anyi wawili waliomtukana Bwana Yesu au mmoja?
SWALI: Kitabu cha Mathayo 27:44 na Marko 15:32b inazungumzia wale wanyang’anyi walioteswa pamoja na Yesu kuwa wote wawili walimtukana Yesu pia, ila tukisoma Luka 23:39 inasema ni mmoja ndiye alimtukana sasa kwanini inakuwa hivyo naomba unisaidie nielewe?. JIBU: Tuvipitie vifungu vyenyewe; Mathayo 27:44 “Pia wale wanyang’anyi waliosulibiwa pamoja naye walimshutumu vile vile. Marko 15:32 Kristo, … Continue reading Je ni wanyang’anyi wawili waliomtukana Bwana Yesu au mmoja?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed