OLE WAKO KORAZINI NA BETHSAIDA.
Korazini na Bethsaida ilikuwa ni miji iliyokuwepo kandokando ya bahari ya Galilaya.. Sasa Bahari ya Galalilaya, iliitwa hivyo bahari lakini kiuhalisia sio bahari bali ni ziwa, kwasababu bahari ni lazima iwe na maji ya chumvi, lakini Hili la Galilaya lilikuwa na maji yasiyo chumvi (yaani maji barini), hivyo lilikuwa ni ziwa mfano wa Ziwa Victoria, … Continue reading OLE WAKO KORAZINI NA BETHSAIDA.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed