Bwana Yesu alikufa akiwa na umri gani?
Biblia inatuonyesha Bwana Yesu alianza huduma yake akiwa na umri wa miaka kama 30. Luka 3:23. Sasa ili tujue alikufa na umri gani, ni vizuri kwanza tukajua urefu wa huduma yake ulikuwa ni miaka mingapi, na hiyo ndio itakayotusaidia kujua alikufa na umri gani. Tukisoma kitabu cha Yohana kinatuonyesha Bwana alihudhuria sikukuu za Pasaka zisizopungua … Continue reading Bwana Yesu alikufa akiwa na umri gani?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed