NI SAA KUMI NA MBILI (12) TU, ZA KRISTO KWAKO.
Shalom. Bwana Yesu alisema maneno haya; Yohana 11:9 “…… Je! Saa za mchana si kumi na mbili? Mtu akienda mchana hajikwai; kwa sababu aiona nuru ya ulimwengu huu. 10 Bali akienda usiku hujikwaa; kwa sababu nuru haimo ndani yake”. Utajiuliza ni kwanini Bwana Yesu alijifananisha na Nuru ya ulimwengu? Ambayo ni JUA linalofanya kazi saa … Continue reading NI SAA KUMI NA MBILI (12) TU, ZA KRISTO KWAKO.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed