Vyombo vya uzuri ni vipi vinavyotajwa katika biblia?

SWALI: Shalom mpendwa katika Bwana , swali langu lipo katika kutoka 33:5 BWANA alipomwambia Musa vueni “vyombo vyenu vya uzuri” ili nipate kujua nitakalowatenda . Nataka kujua aliposema hivyo alikuwa na maana gani? JIBU: Tusome habari yenyewe tokea mstari wa kwanza, lipo jambo zaidi ya hilo la kujifunza; Kutoka 33:1 “Bwana akanena na Musa, Haya, … Continue reading Vyombo vya uzuri ni vipi vinavyotajwa katika biblia?