Nini maana ya “mkilichukia hata vazi lililotiwa uchafu na mwili”?

SWALI: Biblia inamaanisha nini inaposema “mkilichukia hata vazi lililotiwa uchafu na mwili”?(Yuda 1:23) JIBU: Maneno hayo utayasoma katika vifungu hivi;  Yuda 1:22 “Wahurumieni wengine walio na shaka, 23 na wengine waokoeni kwa kuwanyakua katika moto; na wengine wahurumieni kwa hofu, MKILICHUKIA HATA VAZI LILILOTIWA UCHAFU NA MWILI. 24 Yeye awezaye kuwalinda ninyi msijikwae, na kuwasimamisha … Continue reading Nini maana ya “mkilichukia hata vazi lililotiwa uchafu na mwili”?