Nini maana ya..“wakiwazuia watu wasioe” (1Timotheo 4:1)

Swali: Mtume Paulo anasema katika 1Timotheo 4:3, kwamba “wakiwazuia watu wasioe”. Alikuwa ana maana gani hasa?. Jibu: Tusome 1Timotheo 4:1  “Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani; 2  kwa unafiki wa watu wasemao uongo, wakichomwa moto dhamiri zao wenyewe; 3  wakiwazuia watu … Continue reading Nini maana ya..“wakiwazuia watu wasioe” (1Timotheo 4:1)