Nini maana ya ‘kuhuluku’ kama tunavyosoma katika biblia?

Kuhuluku ni Neno lingine linalomaanisha KUUMBA. Kwamfano tukisema Mungu kahuluku jua na mwezi, tunamaanisha kuwa Mungu ameumba jua na mwezi. Vifuatavyo ni baadhi ya vifungu ambavyo vinalielezea Neno hilo; Isaya 43:1 “Lakini sasa, Bwana aliyekuhuluku, Ee Yakobo, yeye aliyekuumba, Ee Israeli, asema hivi, Usiogope, maana nimekukomboa; nimekuita kwa jina lako, wewe u wangu”. Isaya 45: … Continue reading Nini maana ya ‘kuhuluku’ kama tunavyosoma katika biblia?