Nini maana ya ‘Maandalio ya moyo ni ya mwanadamu’ ?

SWALI: Naomba kufahamu maana ya mstari huu ; Mithali 16:1 “Maandalio ya moyo ni ya mwanadamu; Bali jawabu la ulimi hutoka kwa Bwana”. JIBU: Mstari huu unatukumbusha kuwa si kila jambo tunalolipanga katika maisha tunaweza kulitolea maamuzi  yake asilimia mia. Ni kweli Mungu anaturuhusu tupange mipango yetu mingi kwa jinsi  tupendavyo, lakini tunapaswa tukumbuke  pia … Continue reading Nini maana ya ‘Maandalio ya moyo ni ya mwanadamu’ ?