Nini maana ya ‘Maandalio ya moyo ni ya mwanadamu’ ?
SWALI: Naomba kufahamu maana ya mstari huu ; Mithali 16:1 “Maandalio ya moyo ni ya mwanadamu; Bali jawabu la ulimi hutoka kwa Bwana”. JIBU: Mstari huu unatukumbusha kuwa si kila jambo tunalolipanga katika maisha tunaweza kulitolea maamuzi yake asilimia mia. Ni kweli Mungu anaturuhusu tupange mipango yetu mingi kwa jinsi tupendavyo, lakini tunapaswa tukumbuke pia … Continue reading Nini maana ya ‘Maandalio ya moyo ni ya mwanadamu’ ?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed