UTAKASO NI SEHEMU YA MAISHA YA MKRISTO YA KILA SIKU.
Jina kuu la Bwana wetu Yesu libarikiwe. Ni siku nyingine tena Bwana ametupa pumzi yake kuiona, leo tutajifunza somo linalohusiana na utakaso kwa mtakatifu. Lakini kabla hatujafika kwenye utakaso, ni vizuri tufahamu kwanza mtakatifu ni mtu wa namna gani kibiblia.. Wengi tunafahamu labda mtu mpaka aitwe mtakatifu ni lazima awe ameshakaa kwenye wokovu miaka mingi,, … Continue reading UTAKASO NI SEHEMU YA MAISHA YA MKRISTO YA KILA SIKU.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed