Je ni sahihi kuweka walinzi kulinda mali zetu?
SWALI: Je ni sahihi kwa sisi tuliookoka na tunaomtegemea Mungu kuweka walinzi kulinda mali zetuĀ au mali za kanisa?. Kwasababu Biblia inasema Bwana asipoulinda mji yeye aulindaye akesha bure (Zab.127:1). JIBU: Si dhambi kuweka walinzi au kuweka ulinzi katika mali zako, tena ni jambo la busara zaidi na la hekima. Unapokuwa na biashara yako au … Continue reading Je ni sahihi kuweka walinzi kulinda mali zetu?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed