KIKWAZO CHA EUODIA NA SINTIKE.
Shalom karibu tujifunze Neno la Mungu ambalo ndio taa ya miguu yetu na mwanga wa njia zetu.(Zab 119:105) Leo tuwatazame wanawake hawa wawili ambao tunaona Mtume Paulo,akiwataja kipekee zaidi katika biblia kutokana na bidii yao kwa Bwana. Mmoja aliitwa Euodia na mwingine Sintike. Mtume Paulo anasema wanawake hawa walishindania injili pamoja naye, hii ikiwa na … Continue reading KIKWAZO CHA EUODIA NA SINTIKE.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed