Mharabu ni nani katika biblia?

Kuna tofauti kati ya “Mwarabu” na “Mharabu”. Maneno haya mawili yameonekana sehemu kadhaa katika biblia na yana maana mbili tofauti. Tukianza na “Mwarabu”. Mwarabu au kwa wingi waarabu; ni jamii ya watu wanaoishi maeneno ya mashariki ya kati. Yaani maeneno ya  Syria,Jordani, Palestina, Saudi Arabia, Yordani, Yemen, Kuwait,  Iran, Iraq, na Uturuki. Wenyeji wa maeneo … Continue reading Mharabu ni nani katika biblia?