Ni nani aliyesema “Nitume mimi”? katika (Isaya 6:8)
SWALI: Mtumishi wa Mungu! Bwana asifiwe, naomba ufafanuzi kidogo juu ya andiko hili katika Isaya 6:1-10 Ni Nani aliyesema “Nitume Mimi”?je Ni isaya au!? Na kwanini Isaya pia alitakaswa kwa kaa la moto? JIBU: Tusome baadhi ya vifungu hivyo; Isaya 6: 5 “Ndipo niliposema, Ole wangu! Kwa maana nimepotea; kwa sababu mimi ni mtu mwenye midomo … Continue reading Ni nani aliyesema “Nitume mimi”? katika (Isaya 6:8)
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed