“Kinga kilichotolewa motoni “Kinafunua nini kibiblia?
SWALI: Kwanini Yoshua aliambiwa yeye ni kinga kilichotolewa motoni? Hichi kinga kilichotolewa motoni kina maana gani kibiblia? JIBU: Kinga ni kama kijiti, hivyo inaposema kinga cha moto inamaanisha kijiti cha moto. Neno hilo utaliona sehemu kadha wa kadha katika biblia, na hususani wakati ule, Yoshua kuhani mkuu alipokuwa amesimama mbele za Mungu, na shetani naye … Continue reading “Kinga kilichotolewa motoni “Kinafunua nini kibiblia?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed