Fuawe ni nini? Kama tunavyosoma katika Isaya 41:7
Isaya 41:7 “Seremala akamtia moyo mfua dhahabu, na yeye alainishaye kwa nyundo AKAMHIMIZA YULE APIGAYE FUAWE, akiisifu kazi ya kuunga, akisema, ni kazi njema; naye akaikaza kwa misumari isitikisike. ”. JIBU: Fuawe ni chuma kizito, zilichotengenezwa na wafuaji kwa ajili ya kazi ya kuchonga au kukarabati vitu vyenye asili ya chuma, kama fedha, dhahabu, shaba, … Continue reading Fuawe ni nini? Kama tunavyosoma katika Isaya 41:7
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed