Nini maana ya “Ulipo mzoga, ndipo watakapokutanika tai?
SWALI: Shalom naomba kufahamu maana ya huu mstari.. Luka 17:37 “Wakajibu, wakamwuliza, Wapi, Bwana? Akawaambia, Ulipo mzoga, ndipo watakapokutanika tai”. JIBU: Kabla ya wanafunzi wa Yesu kumuuliza Bwana hilo swali “WAPI?”..Kuna maneno ambayo yalitangulia juu kidogo, ambayo tukiyasoma yatatusaidia kuelewa vizuri huo mstari ulimaanisha nini, embu tusome kidogo. Luka 17:22 “Akawaambia wanafunzi, Siku zitakuja mtakapotamani … Continue reading Nini maana ya “Ulipo mzoga, ndipo watakapokutanika tai?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed