Kama Musa aliandika vitabu vya torati, Je! kifo chake alikiandikaje mule?

SWALI: Ukisoma kitabu cha kumbukumbu la torati sura ya 34 unaona Musa anakufa na kitabu kinaendelea kuandika mpaka kifo chake, je huoni kuwa ni makosa kusema vitabu vitano vya kwanza vya Biblia vimeandikwa na Musa? maana mtu hawezi kuelezea kifo chake kuwa amekufa lini na kuzikwa lini?asante. JIBU: Kuhusu uandishi wa Musa juu ya kifo … Continue reading Kama Musa aliandika vitabu vya torati, Je! kifo chake alikiandikaje mule?