Nini maana ya mhubiri 9:11? si wenye mbio washindao katika michezo?

SWALI: Shalom wana wa Mungu Naomba msaada kuelewa andiko hili; JIBU: Ukisoma utaona Sulemani anasema, nikarudi na kuona chini ya jua, ikiwa na maana kuwa ni jambo ambalo amekuwa akiliona likitokea mara kwa mara duniani, hivyo akaona aandike, pengine na sisi tukilichunguza tunaweza kuliona, au pengine tulishawahi kuliona sehemu fulani. Kwamba si wote wenye mbio, … Continue reading Nini maana ya mhubiri 9:11? si wenye mbio washindao katika michezo?