TOFAUTISHA KATI YA MAFUNDISHO YA YESU, NA YA WAANDISHI.

Nakusalimu katika jina kuu lipitalo majina yote la Bwana wetu Yesu Kristo. Karibu tuyatafakari maneno yake pamoja, Tukisoma kitabu cha Mathayo ile sura ya saba inatuambia.. Mathayo 7:28 “Ikawa, Yesu alipoyamaliza maneno hayo, makutano walishangaa mno kwa mafundisho yake; 29 kwa maana alikuwa akiwafundisha kama mtu mwenye amri, wala si kama waandishi wao”. Maandiko hayo … Continue reading TOFAUTISHA KATI YA MAFUNDISHO YA YESU, NA YA WAANDISHI.