Jina la Mwokozi wetu Yesu, libarikiwe. Mnadhiri ni mtu aliyejitenga na mambo fulani ili atimize nadhiri/Ahadi aliyoiweka kwa Mungu wake. Kwamfano katika agano la kale, kama mtu ameweka nadhiri fulani kwa Mungu, labda ya kumtolea sadaka Fulani, na akatamka kwa kinywa chake mwenyewe mbele za Mungu, basi yalikuwepo maagizo Fulani ya kufanya ambayo yanaambatana na … Continue reading NGUVU YA MNADHIRI WA BWANA.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed