Je! Mwandishi wa kitabu cha Warumi alikuwa ni Paulo au Tertio?

SWALI: Je! Mwandishi wa kitabu cha Warumi alikuwa ni Paulo au Tertio? kulingana na mstari huu; Warumi 16:22 “Mimi Tertio, niliyeandika waraka huu, nawasalimu katika Bwana”. JIBU: Paulo katika maneno yake ya utangulizi alishatupa  mwangaza kuwa yeye ndiye aliyekiandikia kitabu hicho, kiwaelekee watakatifu wote waliokuwa Rumi. Tusome; Warumi 1:1 “PAULO, MTUMWA WA KRISTO YESU, ALIYEITWA … Continue reading Je! Mwandishi wa kitabu cha Warumi alikuwa ni Paulo au Tertio?