Je ni kweli siku ya mwisho dunia itakunjwa kama karatasi na kutupwa motoni?

Jibu: Hakuna mstari wowote katika biblia takatifu unaosema kwamba dunia siku moja itakunjwa kama karatasi na kutupwa motoni. Mstari ambao unawachanganya wengi ni ule wa Isaya 34:4 unaosema.. Isaya 34:4 “Na jeshi lote la mbinguni litafumuliwa, NA MBINGU ZITAKUNJWA KAMA KARATASI, na jeshi lao lote litanyauka kama vile jani la mzabibu linyaukavyo na kupukutika, na … Continue reading Je ni kweli siku ya mwisho dunia itakunjwa kama karatasi na kutupwa motoni?