USIPOTEZWE NA MANENO YA MANABII WA UONGO.

Shalom jina Kuu la Mwokozi wa Ulimwengu, Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tujifunze biblia, Neno la Mungu wetu lililo hai. Katika biblia tunasoma kisa cha Nabii Mmoja aliyetumwa na Mungu kwa mfalme Yerobohamu, amtolee unabii juu ya maovu anayoyafanya, ambayo kwa hayo anawakosesha Israeli yote. Na nabii Yule alipomaliza kutoa unabii ule, kama tunavyosoma, Mungu alimwonya … Continue reading USIPOTEZWE NA MANENO YA MANABII WA UONGO.