Kama tunaokolewa kwa neema kwanini wokovu tuupate kwa nguvu?
SWALI: Je! kuna mchango wowote sisi tunaweza kuuweka ili tupate wokovu wetu? Na kama sio kwanini basi maandiko yanasema, ufalme wa mbinguni unapatikana kwa nguvu nao wenye nguvu ndio wanaouteka (Mathayo 11:12)? JIBU: Kuhusu mchango wetu katika Neema ya wokovu, maandiko yapo wazi ni kuwa HAUPO. Waefeso 2:8 “Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia … Continue reading Kama tunaokolewa kwa neema kwanini wokovu tuupate kwa nguvu?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed