Milango ni wingi wa neno “mlango”..( Malango na Milango), ni neno moja. Katika biblia tunasoma Neno hilo likitajwa na Bwana Yesu.. Mathayo 16:18 “ Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; WALA MILANGO YA KUZIMU HAITALISHINDA. 19 Nami nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbinguni; na lo lote utakalolifunga … Continue reading MILANGO YA KUZIMU.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed