Biblia inamaana gani kusema “vipo sita, naam saba”?
SWALI: Biblia inamaana gani kusema “vipo sita, naam saba”. Kwanini isingesema tu mara moja saba, mpaka ianze sita,halafu tena saba? JIBU: Ni lugha ya zamani, iliyotumika kuwekea msisitizo kitu hususani kile cha mwisho, yaani, kama inadhaniwa ni sita, basi kipo na cha saba ambacho ndio zaidi. Kwa mfano ukisoma ile Mithali 6:16 inayozungumzia mambo sita … Continue reading Biblia inamaana gani kusema “vipo sita, naam saba”?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed