Naomba kufahamu maana ya “sura ya kijiti” katika Marko 12:26.

Jibu: Tusome, Marko 12:26  “Na kwa habari ya wafu ya kwamba wafufuliwa, hamjasoma katika kitabu cha Musa, SURA YA KIJITI, jinsi Mungu alivyomwambia, akisema, Mimi ni Mungu wa Ibrahimu, na Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo?” Neno “sura” kama lilivyotumika hapo sio “uso”..kama huu wenye pua, na macho na masikio.. bali limetumika kuwakilisha “mlango … Continue reading Naomba kufahamu maana ya “sura ya kijiti” katika Marko 12:26.