Je aliyezungumza na Musa kule jangwani ni Mungu mwenyewe au malaika wake?
Katika kitabu cha Kutoka 3:2, tunasoma ni Malaika wa Mungu ndiye aliyemtokea Musa, lakini tukiendelea mbele katika Mstari wa 4, tunaona ni Mungu ndiye anayezungumza na Musa, na si Yule malaika tena, hapo imekaaje? Jibu: Tuisome habari hiyo… Kutoka 3: 2 “Malaika wa Bwana akamtokea, katika mwali wa moto uliotoka katikati ya kijiti; akatazama, na … Continue reading Je aliyezungumza na Musa kule jangwani ni Mungu mwenyewe au malaika wake?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed