Je aliyezungumza na Musa kule jangwani ni Mungu mwenyewe au malaika wake?

Katika kitabu cha Kutoka 3:2, tunasoma ni Malaika wa Mungu ndiye aliyemtokea Musa, lakini tukiendelea mbele katika Mstari wa 4, tunaona ni Mungu ndiye anayezungumza na Musa, na si Yule malaika tena, hapo imekaaje? Jibu: Tuisome habari hiyo… Kutoka 3: 2 “Malaika wa Bwana akamtokea, katika mwali wa moto uliotoka katikati ya kijiti; akatazama, na … Continue reading Je aliyezungumza na Musa kule jangwani ni Mungu mwenyewe au malaika wake?