Kwanini iwe ni nchi ibubujikayo maziwa na asali?
SWALI: Kwanini Mungu aliufananisha uzuri wa Kaanani na kama nchi ibubujikayo maziwa na asali? Kwanini isiwe kitu kingine chochote, labda dhahabu na nafaka? Kutoka 3:8 “nami nimeshuka ili niwaokoe na mikono ya Wamisri, niwapandishe kutoka nchi ile, hata nchi njema, kisha pana; nchi ijaayo maziwa na asali; hata mahali pa Mkanaani, na Mhiti, na Mwamori, … Continue reading Kwanini iwe ni nchi ibubujikayo maziwa na asali?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed