Je Eliya aliandika waraka baada ya kupaa mbinguni?
SWALI: Tunajua kuwa Nabii Eliya alipaa mbinguni katika upepo wa kisulisuli, lakini tunakuja kuona miaka mingi baadaye akituma waraka kwa mfalme mfalme Yehoramu juu ya ugonjwa wake (2Nyakati 21:12). Jambo hilo linawezekanikaje? Jibu: Labda tusome, 2Nyakati 21:11 “Tena ndiye aliyefanya mahali pa juu milimani pa Yuda, na kuwaendesha katika uasherati wenyeji wa Yerusalemu, na kuwakosesha … Continue reading Je Eliya aliandika waraka baada ya kupaa mbinguni?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed