Je mbinguni itakuwa ni kuimba tu wakati wote?.
Jibu: Hakuna andiko lolote katika biblia linalosema mbinguni ni mahali pa kuimba tu wakati wote!. Bwana Yesu alisema anakwenda kutuandalia makao.. Yohana 14:1 “Msifadhaike mioyoni mwenu; mnamwamini Mungu, niaminini na mimi. 2 Nyumbani mwa Baba yangu mna makao mengi; kama sivyo, ningaliwaambia; maana naenda kuwaandalia mahali. 3 Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tena … Continue reading Je mbinguni itakuwa ni kuimba tu wakati wote?.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed