Kwanini Bwana Yesu aliwaagiza wanafunzi wake wakanunue upanga?
Naomba kufahamu Kwanini Bwana Yesu aliwaagiza wanafunzi wake wakanunue upanga?. Na tunafahamu kazi ya upanga si njema? Tusome Luka 22:35 “Akawauliza, Je! Hapo nilipowatuma hamna mfuko, wala mkoba, wala viatu, mlipungukiwa na kitu? Wakasema, La! 36 Akawaambia, Lakini sasa mwenye mfuko na auchukue, na mkoba vivyo hivyo; naye asiye na upanga, na auze joho yake … Continue reading Kwanini Bwana Yesu aliwaagiza wanafunzi wake wakanunue upanga?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed