Je Mungu anaweza kumdanganya mtu?

Tukisoma katika kitabu cha Ezekieli 14:9 tunasoma Mungu anaweza kumdanganya Nabii, sasa swali ni je Mungu anadanganya? Jibu: Tusome Ezekieli 14:9 “Na nabii akidanganyika, na kusema neno, MIMI, BWANA, NIMEMDANGANYA NABII YULE, nami nitaunyosha mkono wangu juu yake, na kumwangamiza, asiwe kati ya watu wangu Israeli. 10 Nao watauchukua uovu wao; uovu wa nabii utakuwa … Continue reading Je Mungu anaweza kumdanganya mtu?