Kwanini Mungu aliwaita Adamu na Hawa jina moja?
SWALI: Kwanini katika Mwanzo 5:2 tunasoma Mungu aliwaita Adamu na Hawa jina moja la Adamu..na sio mawili tofauti.? Mwanzo 5:2 [2]mwanamume na mwanamke aliwaumba, akawabariki akawaita jina lao Adamu, siku ile walipoumbwa. JIBU: Kumbuka siku Mungu alipowaumba wanadamu(mwanamke na mwanamume)..hàkuwaumba wote kwa pamoja..Bali alimuumba ADAMU peke yake..kisha hawa baadaye..ambaye alikuja kuumbwa kutoka katika ubavu wa … Continue reading Kwanini Mungu aliwaita Adamu na Hawa jina moja?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed