UTAYAFIKIAJE MANENO SAFI YA MUNGU?
Watu wengi wanasoma biblia lakini si wote wanayafikia maneno SAFI YA MUNGU. Jambo ambalo watu wengi hatujui ni kuwa tunadhani, tunapoisoma biblia kwa mara moja, tayari tumeshayafikia “maneno safi ya Mungu”, yale yenye uwezo wa kubadilisha Maisha yetu katika ubora wote. Ni vizuri ukafahamu hii biblia tunayoisoma, haipo wazi kama unavyodhani, ni kitabu kilichoficha maneno … Continue reading UTAYAFIKIAJE MANENO SAFI YA MUNGU?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed