Ni kwa namna gani Yesu ni Simba wa Yuda?
Bwana Yesu amejulikana kwa majina mengi tofauti tofauti katika biblia, kuna sehemu katajwa kama Mwanakondoo (Yohana 1:29), sehemu nyingine kama nyota ya asubuhi, sehemu nyingine kama Mzao wa Daudi (ufunuo 22:16), sehemu nyingine kama Imanueli, sehemu nyingine kama Simba wa Yuda n.k. Leo tutaangalia ni kwanini amejulikana kama Simba wa Yuda. Bwana Yesu kama Simba … Continue reading Ni kwa namna gani Yesu ni Simba wa Yuda?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed