Furaha kwa tafsiri ya kawaida, ni muhemko chanya wa kihisia unaotakana na aidha kuridhishwa na jambo fulani au kupata kitu fulani. Kwa mfano katika biblia Wale mamajusi walipoina tena ile nyota ya Bwana kule Bethelehemu, walifurahi. Mathayo 2:10 “Nao walipoiona ile nyota, walifurahi furaha kubwa mno”. Utaona pia wale waliokwenda kaburini kwa Yesu,Na kukuta ameshafufuka, … Continue reading Furaha ni nini?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed