Karama ya pili inayozungumziwa katika 2Wakorintho 1:15 ndio ipi?

Tusome, 2Wakorintho 1:15 “Nami nikiwa na tumaini hilo nalitaka kufika kwenu hapo kwanza, ili mpate karama ya pili” Sio wakati wote neno “karama” linapotumika kwenye biblia linamaanisha “karama ya roho kama vile unabii, uchungaji, ualimu n.k”. Bali karama pia ni neno linalomaanisha “Zawadi au Baraka”. Kwamfano kuna andiko linasema “karama ya Mungu ni uzima wa … Continue reading Karama ya pili inayozungumziwa katika 2Wakorintho 1:15 ndio ipi?