NI KWA NAMNA GANI SHETANI ANAIZUIA INJILI?

Unaweza ukajiuliza Je shetani anaweza kuwazuia watu wasihubiri injili? Jibu ni ndio Tusome, 1 Wathesalonike 2:17 “Lakini ndugu, tukiwa tumefarakana nanyi kwa kitambo, kwa uso si kwa moyo, tulizidi kutamani kwa shauku nyingi kuwaona nyuso zenu. 18 Kwa hiyo tulitaka kuja kwenu, naam, mimi Paulo, mara ya kwanza, na mara ya pili, na Shetani akatuzuia”. … Continue reading NI KWA NAMNA GANI SHETANI ANAIZUIA INJILI?