TATIZO LA NDANI LINALOWASUMBUA VIJANA, WALIOOKOKA.
Kuna tatizo sugu ambalo linalowasumbua watu wengi , hususani vijana pindi wanapookoka, Na pengine linakusumbua hata na wewe. Vijana kadha wa kadha waliookoka, wamekuwa wakinipigia simu, wengine wakinitumia meseji wakisema mtumishi, tangu nilipookoka, nimejitahidi kweli kuacha uasherati na kutazama picha chafu (za ngono) mitandaoni, Lakini naona kama ninamkosea Mungu kwasababu, zile taswira za yale niliyokuwa … Continue reading TATIZO LA NDANI LINALOWASUMBUA VIJANA, WALIOOKOKA.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed