Pale mwanandoa mmoja anaposhindwa kutimiza wajibu wake ufanyaje?
Wajibu wa wanandoa ni upi? Mume: Kumpenda mke wake Kama mwili wake mwenyewe, ( Waefeso 5:25): Ikiwemo kumuhudumia kiafya, kimavazi, kimalazi, na kiroho. Mke: Kumtii Mume wake: Kumsikiliza, kumuheshimu, kukubali kuongozwa. (Waefeso 5:22). Wote: Haki ya ndoa. (1Wakorintho 7:5) Lakini ikitokea mmoja, ameshindwa kusimama katika nafasi yake, labda tuseme, mume hamjali mkewe, anampiga, anatoka nje … Continue reading Pale mwanandoa mmoja anaposhindwa kutimiza wajibu wake ufanyaje?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed