NA TAA YA MUNGU ILIKUWA BADO HAIJAZIMIKA

Jina la Bwana na Mwokozi, Mkuu wa Uzima, Yesu Kristo lihimidiwe!..karibu tujifunze Biblia, Neno la Mungu. Upo wakati ambao TAA ya Mungu itazima!.. Tuitikie wito wa Mungu, kabla ya huo wakati kufika.. 1Samweli 3:2 “Ikawa wakati huo, Eli alipokuwa amelala mahali pake (tena macho yake yalikuwa yameanza kupofuka, hata asiweze kuona),  3 NA TAA YA … Continue reading NA TAA YA MUNGU ILIKUWA BADO HAIJAZIMIKA