Yeremia alikuwa na umri gani alipoitwa?
JIBU: Maandiko hayaweki wazi ni katika umri gani Yeremia aliitwa isipokuwa watafiti wengi ya Biblia wanakadiria Yeremia aliitwa katika umri wa miaka 20, au chini kidogo ya hapo, pengine 17 Biblia inachosema tu..alipoitwa aliitikia kwa kusema mimi ni MTOTO…Ikiwa na maana kuwa alijiona umri wake ulikuwa bado haujakidhi vigezo vya kumtumikia Mungu.. Yeremia 1:4 “Neno … Continue reading Yeremia alikuwa na umri gani alipoitwa?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed