MWANAMKE ABIGAILI ANAFUNZO GANI KWA WANAWAKE?

Abigaili. Huu ni mwendelezo wa mafundisho maalumu yahusuyo wanawake. Na Leo tutaisikia sauti ya Mungu iliyokuwa nyuma maisha ya huyu mama aliyeitwa Abigaili. Abigaili ni mwanamke aliyeolewa na mwanaume ambaye halikuwa chaguo la Mungu kwake, ijapokuwa mwanaume huyo alikuwa tajiri, hatujui ni nini kilimsukuma Abigaili katika ujana wake kukubali kuolewa na mwanaume yule, labda pengine … Continue reading MWANAMKE ABIGAILI ANAFUNZO GANI KWA WANAWAKE?